Susi: Ab major
Verse 1
Eb
Ab
Iyee iyeee iyee iyee
Eb
Bb
Iyee iyee mmhhh
Verse 2
Eb
Ab
Maisha yangu yanawewe
Ab
Eb
Msaada Wa karibu bwana
Eb
nanitakutuza
Ab
Eb
Bb
Eb
wasiwasi tena
Ab
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
Eb
Gongo lako na fimbo yako
vinanifariji bwana
Bb
Verse 3
Eb
Umenifanya wa thamani umenitoa
Bb
ukanibariki
Eb
Ab
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
Eb
Niliyekuwa sifai, umenibariki
Bb
Verse 4
Eb
Ni wewe unanitoa dhambi (only you)
Bb
Ni wewe unaefaa (my God)
Eb
Ab
Eb
Bb
Only you
Eb
Kila njia ya mtu ni sawa,
Ab
Eb
machoni pake mwenyewe
Bb
Eb
Bb
Eb
Bali bwana upima mioyo
Ab
Mawazo tuliyonayo nafaham
Eb
naweza kujiona watakatifu
Bb
Ila mbele zake hasara roho ni
Ab
Eb
anaokoa halo halo halo
Bb
Eb
wasiwasi tena
Ab
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
Eb
Gongo Lako na fimbo yako
vinanifarijii bwana
Bb
Verse 5
Eb
Umenifanya wa thamani umenitoa
Bb
ukanibariki
Eb
Ab
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
Eb
Bb
Niliyekuwa sifai, ukanibariki
Iyee
Verse 6
Eb
Ab
Only you Jesus
Eb
Simba wa yuda (Only you)
Hakuna kama wewe (Only
Ab
Nitang'ang'ana na wewe (Jesus)
Bb
Ni wewe pekee yako tu (my God)
Ab
Baba wa huruma ehh (Jesus)
Eb
Mwingi wa rehema ehh (Only you)
Bb
Hakuna kama wewe (My God)
Mwenye kutoa buree (only
Unayetupenda (Jesus)
Ab
Eb
Only you
Baba yangu
Nagustuhan mo ba ang kanta?
TunerE A D G B E
Mga chordEb Ab Bb
Marami pang kanta mula kay Walter Chilambo
Tumuklas ng chords para sa mas marami pang kantang matutugtog
Mga kaugnay na kanta
Tumuklas ng chords para sa mas marami pang kantang matutugtog
Sikat na chords sa buong mundo
Pinakatinutugtog na chords at tabs ng lahat ng user
Kamakailang idinagdag
Kamakailang idinagdag na chords at tabs
